Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Mh.Jacqueline Ngonyani Msongozi ametoa mkopo wa Mbolea kwa vikundi vya akinamama na Vijana vipatavyo 75 vyenye wanachama wapatao 1030 mkoani Ruvuma. Mkopo wa Mbolea wenye masharti nafuu tani 151.05 zenye thamani ya TZS 129,124,500 .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...