Dr. Banduka na Mkewe wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga Ndoa takatifu katika kanisa la Kilutheri Mwenge jana tarehe 18/02/2017 na baadae kufanya tafrija ya nguvu katika Ukumbi wa Kunduchi Beach Hotel jijini Dar es salaam
Couple mpya Dr Banduka na Mkewe wakipata Selfie na Mwanasheria Nguli Dr. Saudin Jacob (Mwenye Miwani) na Ndugu Emanuel Mwaituka jana katika ukumbi wa Kunduchi Beach baada ya kufunga ndoa takatifu.
M-CPA Sais Kyejo akiwa na Mkewe Magreth Kyejo pamoja na Henry Kapinga (KAPINGAZ) wakipata Selfie baada ya kushiriki sherehe ya Harusi ya aliyewahi kuwa mwanafunzi mwenzao katika shule ya sekondari Songea Boys, Dr. Banduka Elisante jana katika ukumbi wa Kunduchi beach hotel.
Wadau mbalimbali walioshiriki katika harusi ya Dr. Banduka wakiwa katika nyuso za furaha baada ya kupata ile kitu roho inapenda.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...