Maofisa
Mawasiliano wa Wizara ya Fedha na Mipango wakihuisha Blog ya Hazina
katika kikao kazi kilichofanyika Hazina Ndogo mjini Dodoma leo, ambapo
pia waliwashirikisha baadhi ya mablogger maarufu na watalaam wa tehama.
Mdau wa mitandao ya kijamii kutoka Michuzi Media Group, Ahmad Michuzi akielekeza jambo wakati kikao kazi hizo cha kuhuisha Blogu ya Wizara ya Fedha na Mipango HAZINA BLOG leo.
Mdau wa mitandao ya kijamii kutoka Michuzi Media Group, Ahmad Michuzi akielekeza jambo wakati kikao kazi hizo cha kuhuisha Blogu ya Wizara ya Fedha na Mipango HAZINA BLOG leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...