SIMU.TV:  Rais Magufuli ametoa agizo kwa wenyeviti na wakurugenzi kusimamia mashirika ya umma na hukakikisha yanazalisha ili kuingizia taifa faida
SIMU.TV: Mwili wa aliyekuwa mfanyakazi wa Azam Media Ismail Hamza unatarajiwa kusafirishwa kesho na kuzikwa mkoani Morogoro.
 SIMU.TV: Jumla ya walemavu 65 nchini wamepatiwa msaada wa miguu mbadala na kampuni ya Kamal Steels kwa lengo la kuwasaidia kutembea.  https://youtu.be/aYgsa2IAGLU 
SIMU.TV: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amewataka wakazi wa Mkoa huo kujiunga na kituo cha kuwezesha wananchi kujikwamua kiuchumi POSO ili kupata mitaji ya kujiendeleza kiuchumi;https://youtu.be/9eiTOAdDYf8 
SIMU.TV: Wananwake Mkoani Mbeya walalamikia waume zao juu ya matumizi nabovu ya  fedha za TASAF wanazopokea kutoka serikalini; https://youtu.be/wzoJsMdzQSA 
SIMU.TV:  Rais Magufuli ametoa agizo kwa wenyeviti na wakurugenzi kusimamia mashirika ya umma na hukakikisha yanazalisha ili kuingizia taifa faida;https://youtu.be/_elnHPUbHyI 
SIMU.TV: Hali ya taharuki imeibuka katika mtaa wa Nyasaka B Mkoani Mwanza baada ya mkazi mmoja kumfungia mtoto wa miaka 2 ndani ya nyumba;https://youtu.be/OVGF2FVs-Jc 
SIMU.TV: Serikali yawataka wananchi wote kushiriki katika zoezi la usafi siku ya Uhuru kama kutii agizo la Rais Magufulihttps://youtu.be/mf611qpGt40 
SIMU.TV: Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ametoa siku 3 kwa viongozi wa manispaa za mji huo kuhakikisha wanaondoa taka katika maeneo yao ili kuepukana na mlipuko wa kipindupindu https://youtu.be/BgJzjfICyI4
SIMU.TV: Timu ya soka ya Tanzania chini ya miaka 15 inatarajia kuanza ziara yake ya mafunzo kwa nchi za Afrika Mashariki kwajili ya kujiandaa na michuano ya kimataifa; https://youtu.be/rwZQUGdICoo
TBC: Tanzania imeendelea kupata changamoto uanzishwaji wa ligi ya mpira wa miguu kwa wanawake jambo linalopelekea changamoto kwa wadau wa soka nchini; https://youtu.be/29UzpEUNTWQ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...