Na Sensei Rumadha Fundi 
 Kama mtaalam wa sanaa ya Yoga au Acharya (Yoga Teacher), Rumadha (Rasadeva) alihitimu na kutunukiwa Diploma ya kufuzu sanaa hiyo mwaka 1987, toka katika chuo cha "College of Neohumanist Studies", Ydrefors, Sweden, na hatimae baada ya kumaliza kozi hiyo kwenda Culcutta, India kwa mafunzo maalum ya kuthibitiwa kama mwalimu wa sanaa hiyo. 
Pia Rumadha ni mwalimu wa sanaa ya Karate. 
Mwaka 1991 alitunukiwa cheo cha juu cha sanaa ya Yoga duniani kiitwacho " Avadhuta" huko Calcutta, India chini ya kiongozi mkuu wa Yoga marehemu Shrii Shrii Anandamurtiji.
Makala hii maalumu ni ya vitu vichache ambavyo mwalimu Rumadha anapenda kuviongelea kuhusu sayansi ya Yoga na uhusiano kifikra na mawazo ya ubongo wa binaadamu.
Sensei Rumadha katika position inayoitwa "Siddhasana"
Position hii ya kushika miguu inaitwa "Dhanurasana"

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Sensei Rumadha,tunamkubali ni mmoja wa vijana wachache waliobarikiwa na Mwenyezi mungu kuwa na vipaji lukuki,
    Wadau
    FFU-Ughaibuni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...