Magari yakipita chini ya daraja la watembea kwa miguu eneo la Kimara, Dar es Salaam, lililojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya Strabag eneo la Kimara katika mradi wa ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo Kasi Dar es Salaam. (PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2014

    Daraja hili linaonekana vizuri sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...