Mtoto wa marehemu Cisco Mtiro na dada yake walijumuika na umati mkubwa uliojitokeza kwenye hafla ya kila mwaka ya kuwarehemu ndugu, jamaa na marafiki waliotangulia mbele ya haki katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam Jumamosi Januari 13, 2018. Siku hii imepewa jina la muasisi wa shughuli hiyi na kujulikana kama Cisco Memorial Day.
 Marafiki wa karibu wa marehemu Cisco Mtiro na ndugu, jamaa na marafiki wengine waliotangulia mbele ya haki wakipata chakula cha mchana baada ya dua
 Kinamama walikuwepo shughulini
 Baada ya dua mpunga ulifinywa
 Viongozi wa dini wakipata chakula cha mchana baada ya kuongoza dua ya kuwakumbuka marehemu
Picha ya pamoja ya kamati ya maandalizi. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...