Mtoto wa marehemu Cisco Mtiro na dada yake walijumuika na umati mkubwa uliojitokeza kwenye hafla ya kila mwaka ya kuwarehemu ndugu, jamaa na marafiki waliotangulia mbele ya haki katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam Jumamosi Januari 13, 2018. Siku hii imepewa jina la muasisi wa shughuli hiyi na kujulikana kama Cisco Memorial Day.
Marafiki wa karibu wa marehemu Cisco Mtiro na ndugu, jamaa na marafiki wengine waliotangulia mbele ya haki wakipata chakula cha mchana baada ya dua
Kinamama walikuwepo shughulini
Baada ya dua mpunga ulifinywa
Viongozi wa dini wakipata chakula cha mchana baada ya kuongoza dua ya kuwakumbuka marehemu
Picha ya pamoja ya kamati ya maandalizi.
Michuzi sijakuona Ukiufinya kama kawa
ReplyDelete