Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi Mteule wa Australia nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi nchini Kenya, Mhe. WANG Ke kabla ya kwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho. 
Balozi Mteule wa Australia nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi nchini Kenya, Mhe. WANG Ke akiwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga leo jijini Dar es Salaam . 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Balozi Mteule wa Australia nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi nchini Kenya, Mhe. WANG Ke mara baada ya zoezi la kwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kukamilika. 
Mazungumzo yanaendelea. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...