Wakazi wa kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye eneo la Kituo cha Kati cha Polisi ili kupata utaratibu wa kuelekea kwenye Meli kubwa ya Madaktari bingwa kutoka nchini China iliyotia nanga Bandarini, ambapo madaktari hao watatoa huduma mbalimbali za matibabu bure kwa wakazi hao. Ujio wa Meli hiyo ni kutokana na jitihada za Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...