Wakazi wa kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye eneo la Kituo cha Kati cha Polisi ili kupata utaratibu wa kuelekea kwenye Meli kubwa ya Madaktari bingwa kutoka nchini China iliyotia nanga Bandarini, ambapo madaktari hao watatoa huduma mbalimbali za matibabu bure kwa wakazi hao. Ujio wa Meli hiyo ni kutokana na jitihada za Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...