Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira Na Walemavu Jenista Mhagama akiambatana na Makamishna, Maafisa na Askari kuelekea Ofisi za Kituo cha Zimamoto Mkoa wa Ilala mara baada ya kuwasili Kituoni hapo kwa ajili ya kukagua Mradi wa Uboreshaji wa Taarifa za Mabadiliko ya Tabia ya Nchi na Mifumo ya utolewaji wa tahadhari za awali (DARMAERT) Jumanne tarehe 17/10/2017.
Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Billy Mwakatage akitoa taarifa fupi juu ya utendaji wa Jeshi hilo mara baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira Na Walemavu Jenista Mhagama kuwasili Kituo cha Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala, kwa ajili ya kukagua Mradi wa Uboreshaji wa Taarifa za Mabadiliko ya Tabia ya Nchi na Mifumo ya utolewaji wa tahadhari za awali (DARMAERT), Jumanne tarehe 17/10/2017.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama akizungumza na Makamishna wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji pamoja na Uongozi wa Darmaert, mara baada ya kuwasili Kituo cha Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala, kwa ajili ya kukagua Mradi wa Uboreshaji wa Taarifa za Mabadiliko ya Tabia ya Nchi na Mifumo ya utolewaji wa tahadhari za awali (DARMAERT),  Jumanne tarehe 17/10/2017.
Kamishna wa Operesheni wa Jeshi La Zimamoto na Uokoaji, Billy Mwakatage (kulia), akitoa neno la shukrani kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama (wa pili kulia), Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya (aliyevaa suti), na Mratibu wa Darmaert Dkt. Christopher Mzava (kushoto), mara baada ya kuwasili Kituo cha Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala, kwa ajili ya kukagua Mradi wa Uboreshaji wa Taarifa za Mabadiliko ya Tabia ya Nchi na Mifumo ya utolewaji wa tahadhari za awali (DARMAERT), Jumanne tarehe 17/10/2017.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...