Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar Juma Ameir Hafidh kulia
akimkabidhi hundi ya shilingi milioni hamsini Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam Mhe. Paul Makonda kuchangia Ujenzi wa Vyumba vya Walimu kwa
Shule za Jiji la Dar es Salaam hafla hiyo ya makabidhiano yamefanyika
katika Makao Makuu ya PBZ Mpirani Zanzibar.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar Juma Ameir Hafidh kulia
akimkabidhi hundi ya shilingi milioni hamsini Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam Mhe. Paul Makonda kuchangia Ujenzi wa Vyumba vya Walimu kwa
Shule za Jiji la Dar es Salaam. Hafla hiyo ya makabidhiano yamefanyika
katika Makao Makuu ya PBZ Mpirani Zanzibar. kushoto Mkuu wa Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayuob Mohammed Mahmoud na Mkurugenzi Masoko
wa PBZ Said Ali Mwinyigogo.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar Juma Ameir Hafidh kulia
akimkabidhi hundi ya shilingi milioni hamsini Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam Mhe. Paul Makonda kuchangia Ujenzi wa Vyumba vya Walimu kwa
Shule za Jiji la Dar es Salaam. Hafla hiyo ya makabidhiano yamefanyika
katika Makao Makuu ya PBZ Mpirani Zanzibar.
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda akizungumza na kutowa
shukrani kwa Uongozi wa PBZ kwa msaada wao huo kufanikisha ujenzi wa
Ofisi za Walimu wea Shule za Dar es Salaam,kulia Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na kushoto Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Juma Ameir Hafidhi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...