Waziri wa Habari Utamaduni na michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amewaagiza wanaosimamia Uwanja wa Taifa Kuhakikisha wanaitisha Zabuni ya Kimataifa Ili kuweza kumpata Mkandarasi atakayeweza kutoa Tiketi za Kielektroniki zitakazokuwa na number ya Siti za Kukaa kwa kila Mtazamaji wa Mpira.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...