Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimkaribisha Balozi wa Qatar hapa
nchini Abdulla Jassim Al-Maadad, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao
Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimsalimia msaidizi wa Balozi wa Qatar
hapa nchini Abdulla Jassim Al-Maadad, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya
Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwa na Balozi wa Qatar
hapa nchini Abdulla Jassim Al-Maadad, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya
Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Qatar
hapa nchini Abdulla Jassim Al-Maadad, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya
Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam .
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiagana na Balozi wa Qatar
hapa nchini Abdulla Jassim Al-Maadad, baada ya mazungumzo yao, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya
Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...