Mkurugenzi wa uhusiano na uhamasishaji Bi Sarah Kibonde Msika akiwasikisha maada ya hifadhi ya jamii wakati wa kikao  kwenye wiki ya utumishi wa umma kilichofanyika jana katika Ofisi za SSRA jijini Dar es Salaam.
Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) wamekutana na maafisa Habari wa serikali katika maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma ili kuwaongezea ujuzi ili kuongeza ufanisi kwenye kazi zao.
Baadhi ya maafisa Habari wa serikali pamoja na wadau mbalimbali wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) wakifuatilia mada wakati wa maadhimisho ya wiki ya utumishi.
                      Mkurugenzi wa uhusiano na uhamasishaji Bi Sarah Kibonde Msika (kushoto aliyekaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na maafisa Habari wa serikali pamoja na wadau mbalimbali wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA)  baada kumaliza semina ya wiki ya utumishi wa umma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...