Mwenyekiti wa Taasisi ya Tanzania Health Summit
Dkt. Omary Chillo (kulia) akifafanua jambo
kwa wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea maandalizi ya
mbio za HEART MARATHON na upimaji wa afya yenye lengo la kuisaidia serikali
kupunguza magonjwa yasiyoambukizika, jana jijini Dar es Salaam. Katikati ni
Katibu Mkuu Chama cha Riadha Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Lucas Nkungu na kushoto
ni Katibu Mkuu wa Taasisi ya Tanzania Health Summit Bi. Rebecca John. Mbio hizo zitaanzia na kuishia barabara ya Kaole Oysterbay jijini Dar es salaam. Muda wa kuanza ni saa 12 asubuhi.
Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama cha Riadha
Tanzania Bi. Ombeni Zavara akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani)
juu ya ya mbio za heart marathon na upimaji wa afya yenye lengo la kuisaidia
serikali kupunguza magonjwa yasiyoambukizika jijini Dar es Salaam, kulia
ni Katibu Mkuu wa Taasisi ya Tanzania Health Summit Bi. Rebecca John.
Katibu Mkuu wa Taasisi ya Tanzania Health Summit Bi.
Rebecca John (katikati) akisisitiza jambo kwa wandishi wa habari (hawapo
pichani) wakati akielezea maandalizi ya mbio za heart marathon na upimaji wa
afya yenye lengo la kuisaidia serikali kupunguza magonjwa yasiyoambukizika,
jana jijini Dar es Salaam, kushoto ni Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama cha Riadha
Tanzania Bi. Ombeni Zavara na kulia ni Katibu Mkuu Chama cha Riadha Mkoa wa Dar
es Salaam Bw. Lucas Nkungu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...