Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe.
Dkt. John Pombe Magufuli akijiandaa kuendesha Kikao cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM leo jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa katika picha na Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti
CCM (Zanzibar) Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan,
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Waziri Mkuu Mstaafu Dkt.
Salim Ahmed Salim, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakiwa
pamoja na Wajumbe wengine wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha
Mapinduzi CCM, mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe.
Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Makamu
Mwenyekiti CCM (Zanzibar) Dkt. Ali Mohamed Shein mara baada ya kumalizika kwa
kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM kilichofanyika jijini Dar es
Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe
Magufuli akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama
cha Mapinduzi CCM Dkt. Salim Ahmed Salim
mara baada ya kumalizika kwa kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama
cha Mapinduzi CCM kilichofanyika jijini
Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...