Daktari Bingwa Mshauri Mwandamizi wa Magonjwa ya Moyo Kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Morogoro na Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Mtakatifu Fransisco, Dkt Harun Nyagori, ametunukiwa  Tuzo ya Heshima katika fani hiyo fani (FELLOW OF AMERICA COLLEGE OF CARDIOLOGY) na Kutambuliwa na Chuo Kikuu Cha Maradhi ya Moyo jijinin Washington DC, Marekani,  leo.
Akiongea baada ya kupokea zawadi  hiyo kwa njia ya simu  Dkt Nyagori anasema leo ilikuwa ni siku pekee ya Kuonyesha Ulimwengu kwamba Tanzania pia inaweza na kwa kutimiza ndoto yake ya kuipatia Heshima Tanzania ili itambulike  kuwa ina Wataalamu wanaoweza kufanya Utafiti Mbali mbali wa Maradhi ya Moyo.
Dkt Nyagori amepongezwa sana na Watanzania na Wanasyansi mbalimbali Nje na ndani ya nchi. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki Daktari wetu na wanataalauma Mbalimbali walioonyesha mfano kama Daktari wetu huyu. 

Dkt Harun Nyagori akipozi baada ya kutunukiwa  tuzo ya Heshima katika fani hiyo fani (FELLOW OF AMERICA COLLEGE CARDIOLOGY)  toka  Chuo Kikuu Cha Maradhi ya Moyo mjini Washington DC, Marekani,  leo. 
Dkt Harun Nyagori akipongezwa baada ya kutunukiwa  tuzo ya Heshima katika fani hiyo fani (FELLOW OF AMERICA COLLEGE CARDIOLOGY)  toka   Chuo Kikuu Cha Maradhi ya Moyo mjini Washington DC, Marekani,  leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...