Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Waziri Mkuu wa Swaziland Mhe. Barnabas Sibusiso Dlamini
katika uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Afrika kwenye hoteli ya Westin
mjini Port Louis, Mauritius, Machi 20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja
na viongozi wakuu wa nchi za Afrika walioshiriki katika uzinduzi wa
Jukwaa la Uchumi la Afrika kwenye Hoteli ya Westin mjini Port Louis
nchini Mauritius Machi 20, 2017.(Picha na 0fisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...