Kada wa Chama cha
Mapinduzi na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam,
kuhusu kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Amiri Jeshi
Mkuu Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika vita dhidi ya dawa za kulevya nchini.
Kada wa Chama cha
Mapinduzi na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja
akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari - MAELEZO
leo Jijini Dar es Salaam, kuhusu kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya
Tano chini ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika vita dhidi
ya dawa za kulevya nchini.Picha zote na: Frank
Shija – MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...