Na.
            Tukio
Mhusika
Muda
1
Kuw Washiriki kuwasili

Kamati ya Maandalizi
11.30 - 12.00 Asubuhi
2
Kuwasili Mgeni rasmi

Kamati ya Maandalizi

12.00 – 12.10 Asubuhi
3
Mazoezi ya mwanzo ( warm up)

Kamati ya Maandalizi/ wakufunzi wa Mazoezi

12.10 – 12.25 Asubuhi
4.
Matembezi ya Mazoezi

Kamati ya Maandalizi/ wakufunzi wa Mazoezi

12.25 – 1.25 Asubuhi
5.
Mazoezi ya kulainisha viungo baada ya Matembezi

Kamati ya Maandalizi/ wakufunzi wa Mazoezi

1.25 – 1.55 Asubuhi
6

Burdani

1.55 – 2.10 Asubuhi
7.
Taarifa fupi kuhusu Madhumuni ya Bonanza
Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO)
2.10 – 2.15 Asubuhi
8.
Kumkaribisha Mgeni Rasmi
Jukwaa la Wahariri (TEF)
2.15-2.20 Asubuhi
9.
Hotuba ya Mgeni rasmi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb)
2.20 – 2.40  Asubuhi
10.
Neno la Shukran


Klabu ya Waandishi wa Habari wa Jiji la Dar es Salaam (DCPC)
2.40 -2.45 Asuhihi
11.
Burdan

2.45-3.00 Asubuhi
12.
Kutembelea mabanda ya upimaji Afya bila malipo na Mgeni rasmi kuondoka.

Mgeni rasmi/Viongozi
3.00 – 3.30 Asubuhi

Burdani Kuendelea

3.30 Asubuhi na Kuendelea
13.

Kuendelea na Bonanza, utoaji damu na upimaji Afya
Wote
3.30  Asubuhi na Kuendelea



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...