Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Mhandisi
Lili-Ang kutoka kampuni ya Beijing Construction Engineering Group (BCEG)
inayokarabati na kujenga uwanja wa ndege wa Mwanza.
Mhandisi Mshauri
anayesimamia ukarabati na ujenzi wa
uwanja wa ndege wa Mwanza akimuonesha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa Mnara wa jengo la kuongozea ndege alipokagua
ujenzi wa uwanja huo.
Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa viongozi wa
uwanja wa ndege wa Mwanza namna ya kushirikiana na Mkandarasi Beijing
Construction Engineering Group (BCEG) anayekarabati na kujenga uwanja huo.
Muonekano wa jengo
jipya la kuongozea ndege linalojengwa na kampuni ya Beijing Construction
Engineering Group (BCEG) katika uwanja wa ndege wa Mwanza. Imetolewa na Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...