SIMU.TV: Naibu balozi wa Ufaransa ametembelea kampuni ya Africa Media Group na kujadili namna ya kueneza utamaduni wa kifaransa kupitia vipindi vinavyorushwa na Channel ten. https://youtu.be/PJYI6ityIFc

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amezindua mpango wa kunywa dawa za kinga ya magonjwa ya Mabusha, Matende Minyoo ya tumbo na Vikope. https://youtu.be/6V4EKRCJ8Us

SIMU.TV: Wananchi katika vijiji vya Nadare na lubwa wilayani Longido wanalazimika kutembea kilometa 25 kufuata huduama za afya. https://youtu.be/-p983Efi8uQ

SIMU.TV: Wafanyakazi wa kampuni ya Vodacom leo wamejitokeza kupima kwa hiyari na kupata ushauri wa magonjwa ya saratani. https://youtu.be/fWY8GAdjnnc

SIMU.TV: Mkutano wa tano wa ushirikiano kati ya nchi za Afrika na Korea ya kusini umefanyika huko Korea ya Kusini ukijadili namna ya kuendeleza nchi za Afrika kupitia sekta ya kilimo na viwanda. https://youtu.be/P8DuKo5H4Vc

SIMU.TV: Wizara ya viwanda biashara na uwekezaji ikishirikiana na mamlaka ya biashara TANTRADE imeandaa maonesho ya viwanda vilivyopo nchini ili kutangaza fursa zilizopo kwenye sekta hiyo. https://youtu.be/cHOIj7Qdvn0

SIMU.TV: Wadau kutoka taasisi za kiserikali na asasi za kiraia wametakiwa kutoa mapendekezo ya kuandaa sera mpya ya uwezeshaji kwa wananchi. https://youtu.be/IZH2lkz1lyg

SIMU.TV: Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga kesho inatarajia kuingia uwanjani kucheza na JKT Ruvu ikiwa ni mchezo wake wa kiporo. https://youtu.be/aDrXpfbO0cA

SIMU.TV: Bondia kutoka nchini China amewasili nchini kwa ajili ya pambano lake dhidi ya mtanzania Dulla la kuwania ubingwa wa dunia wa WBO. https://youtu.be/lY-yilIGZXg

SIMU.TV: Kutotiliwa mkazo kwa somo la sanaa na michezo shuleni kunasababisha kuzorotesha afya za wananfunzi pia kupoteza vipaji vya michezo kwa wanafunzi. https://youtu.be/uC05oW25_tc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...