SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Lindi aagiza kutatuliwa kwa changamoto kadhaa zinazoikabili hospitali ya rufaa ya Sokoine mkoani Lindi. https://youtu.be/1n6iKnNlHFU

SIMU.TV: Wakazi wa kata ya Kibirizi katika manispaa ya Kigoma Ujiji waiomba serikali kumuondoa mwekezaji katika bwawa la Katosho ili kuondoa migogoro iliopo.https://youtu.be/1I6LQZvdG7k

SIMU.TV: Wananchi wa kata ya Kasamwa katika halmashauri ya Geita walalamikia usafishaji wa bwawa la Kasamwa kuwa wa kutoridhisha. https://youtu.be/PBIrkmlifbw

SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa apokea michango mbalimbali kutoka kwa taasisi na makampuni binafsi kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa maafa ya tetemeko la ardhi.https://youtu.be/X3VX7IPEbgE

SIMU.TV: Vijana nchini watakiwa kujiunga na vyuo vya ufundi ili kuweza kunufaika na fursa za ajira zitakazotolewa na wawekezaji hapa nchini. https://youtu.be/wcJamqmiPiU

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam atoa wito kwa wananchi na wakazi wa jiji la Dar es Salaam kujitokeza katika zoezi la kupanda miti siku ya Oktoba mosi.https://youtu.be/-MkLpg4kBms

SIMU.TV: Walaji wa bidhaa watakiwa kukataa kutumia bidhaa zenye viwango hafifu ili kuweza kufanikisha vita dhidi ya bidhaa duni nchini. https://youtu.be/ZCTSRyCnIiY
SIMU.TV: Taasisi ya REPOA yatoa utafiti wake kuhusu uratibu usiokamilika na madhara yake katika uzalishaji wa miwa nchini. https://youtu.be/CpiN9oHlHnU

SIMU.TV: Pato la taifa katika robo ya pili ya mwaka 2016 limeendelea kuongezeka kwa asilimia 7.9 ikilinganishwa na asilimia 5.8 kwa mwaka 2015. https://youtu.be/Jx-9vj3SBno

SIMU.TV: Wakala wa uingizwaji wa mafuta kwa pamoja nchini  waanza utaratibu mpya wa uingizaji wa mafuta hapa nchini ili kupunguza gharama za mafuta nchini.https://youtu.be/vsirW4PLasE

SIMU.TV: Zaidi ya wasanii tisa wa vichekesho kutoka Tanzania na Kenya kesho wanatarajia kuvunja mbavu za wakazi wa jiji la Mwanza katika ukumbi wa Rock city Mall.https://youtu.be/O5ra14wu8Mo


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...