Balozi Cisco Mtiror akisimamia ugawaji wa pilau baada ya kisomo cha kuwarehemu wazee wa Klabu ya Saigon mtaa wa Sikukuu jijini Dar Jumapili hii. Klabu hiyo ya michezo ni maarufu sana kwa watoto wa mjini ambapo wadau wengi mashuhuri waliitumia kwa kubadilishana mawazo na kucheza soka.
Mgeni rasmi katika Hitma hiyo, Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar Mh. Dk. Gharib Mohamed

Mjumbe wa kamati kuu ya saigoni, Mohamed Haruni (shoto) akiwa na mwanachama mwandamizi wa saigoni Ally "Stone" Mzuzuri


Balozi Cisco akiwa na wanachama wa zamani na wa sasa wa Saigoni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Al MusomaJuly 28, 2009

    Now, is it true that top political and sports posts are won and lost at Saigon? Right or wrong - it makes me wonder...

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 28, 2009

    hivi mwenyekiti wa Sagoni siku hizi ni nani? mara ya mwisho alikuwa HEMED MZEE IBRAHIM maarufu kama Mzee NJEMBA bado ni yeye au ameshachaguliwa mwingine????nisaidie kaka Michuzi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 28, 2009

    Al Musoma,

    Kama unavyomuona Dr.Gharib hapo, basi usishangae akapita kwa kishindo kwenye kinyang'anyiro cha urais SMZ

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 28, 2009

    Kwa Anonymous wa Jul 28 4.25.00am ni kwamba bado Hemed Mzee Ibrahim aka Mzee Njemba ni Mwenyekiti wa Saigon Sports Club.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...