Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na
Wafanyakazi wote wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini
(SUMATRA), Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA anasikitika kuufahamisha umma kuwa
aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa SUMATRA Prof. Iddi S.N. Mkilaha (pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa tarehe 24 Juni, 2014 Nyumbani kwake eneo la
Boko, Dar es Salaam.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani
kwa Marehemu, Boko,
Dar es Salaam.
Tunaomba tuungane na Familia ya Marehemu Prof. Mkilaha
katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo ya msiba huu mkubwa.
Mkurugenzi
Mkuu
SUMATRA
25 Juni,
2016
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...