Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
HATIMAYE ratiba ya kombe la Shirikisho imepangwa leo kwa mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara Yanga kupangwa kundi A akiungana na timu za TP Mazembe, Mo Bejala na Mameada.
Michezo hiyo inatarajiwa kuanza kupigwa Juni 17 kwa mechi za nyumbani na ugenini ambapo washindi wawili wa kila kundi wataingia nusu fainali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...