SIMU.TV: Zaidi ya wanawake elfu 9 waliokwenda kujifungua katika vituo vya afya mkoani Singida kati ya mwaka 2013/ 2015 wabainika kuwa wamekeketwa. https://youtu.be/0FL0wjNjssA
SIMU.TV: Jeshi la polisi mkoani Lindi labainsha kupungua kwa matukio ya uhalifu mkoani humo katika kipindi cha mwaka 2015 ukilinganisha na mwaka 2014. https://youtu.be/odjf3yUstTU
SIMU.TV: Asasi za kiraia nchini zatakiwa kuzingatia sheria, kanuni na maadili ya utoaji wa elimu ya mpiga kura ikiwa ni sambamba na kushirikiana na tume ya uchaguzi NEC katika kuelimisha umma juu ya wajibu na haki za msingi. https://youtu.be/rlHb5ln5VkA
SIMU.TV: Kaya zaidi ya 60 mkoani Lindi zakumbana na adha baada ya mafuriko kufunika makazi yao pamoja na mali zao ikiwemo mashamba. https://youtu.be/cRGW94n4EWg
SIMU.TV: Chama cha mapinduzi mkoani Iringa chawataka wabunge kuwasilisha matatizo ya wananchi wao wawapo bungeni badala ya kutupiana vijembe visivyojenga taifa.https://youtu.be/scbvHCzU3CU
SIMU.TV: Wazazi na walezi nchini waaswa kuhakikisha watoto wao wanapita katika misingi ya dini ili waweze kujifunza mambo mema yatakayo waepusha na vitendo viovu kama matumizi ya dawa za kulevya. https://youtu.be/HIat7EvwIBo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...