SIMU.TV: Zaidi ya wanawake elfu 9 waliokwenda kujifungua katika vituo vya afya mkoani Singida kati ya mwaka 2013/ 2015 wabainika kuwa wamekeketwa. https://youtu.be/0FL0wjNjssA

SIMU.TV: Jeshi la polisi mkoani Lindi labainsha kupungua kwa matukio ya uhalifu mkoani humo katika kipindi cha mwaka 2015 ukilinganisha na mwaka 2014. https://youtu.be/odjf3yUstTU

SIMU.TV: Asasi za kiraia nchini zatakiwa kuzingatia sheria, kanuni na maadili ya utoaji wa elimu ya mpiga kura ikiwa ni sambamba na kushirikiana na tume ya uchaguzi NEC katika kuelimisha umma juu ya wajibu na haki za msingi. https://youtu.be/rlHb5ln5VkA

SIMU.TV: Kaya zaidi ya 60 mkoani Lindi zakumbana na adha baada ya mafuriko kufunika makazi yao pamoja na mali zao ikiwemo mashamba. https://youtu.be/cRGW94n4EWg

SIMU.TV: Chama cha mapinduzi mkoani Iringa chawataka wabunge kuwasilisha matatizo ya wananchi wao wawapo bungeni badala ya kutupiana vijembe visivyojenga taifa.https://youtu.be/scbvHCzU3CU

SIMU.TV: Wazazi na walezi nchini waaswa kuhakikisha watoto wao wanapita katika misingi ya dini ili waweze kujifunza mambo mema yatakayo waepusha na vitendo viovu kama matumizi ya dawa za kulevya. https://youtu.be/HIat7EvwIBo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...