Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Rais wa serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu Ust. Ali Abdallah, alipowasili chuoni hapo kwa ajili ya kufutari na wanafunzi wa chuo hicho.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wanafunzi wa Chuo kikuu cha Zanzibar Tunguu, baada ya kufutari na wanafunzi hao.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akijumuika na viongozi wa Mkoa wa Kusini Unguja, masheikh na wanafunzi wa ZU katika futari. Kutoka kulia ni Naibu Kadhi Mkuu Sheikh Othman Ngwali, Rais wa serikali ya wanafunzi (ZU) ust. Ali Abdalla na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Dkt. Idrisaa Muslih Hijja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...