Jaji Mkuu wa Tanzania,Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa katika meza kuu pamoja na Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu ya Tanzania katika Sherehe za kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya, mapema leo katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu wa TanzaniaMhe. Mohamed Chande Othman, (aliyeketi katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufani (walioketi), Mhe. Shaaban Ali Lila, Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania (wa tatu kulia) na baadhi ya Mawakili wapya (waliosimama) waliopishwa mapema leo.
Pichani ni baadhi ya Mawakili wapya walioapishwa leo na Mhe. Jaji Mkuu, Mhe. Jaji Mkuu leo ameapisha jumla ya Mawakili 412 na kuongeza idadi ya jumla ya Mawakili 4874. (Picha na Mary Gwera, Mahakama)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...