Mkurugenzi wa biashara ya ndani mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania (TANTRADE), Edwin Rutagarutwa akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam  leo. Kuhusiana na  wigo wa biashara hapa nchini na nchi ya Finlan.
 Mwenyekiti wa mkutano na Ushirikishaji  wa ubalozi wa Finland,Siv Ahlberg katika akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam  jana, kuhusiana na historia ya Finland pamoja na njia za kibuiashara za nchi yao.
 Mkurugenzi Mkuu wa Global Education Link, Abdulmalik Mollel akiuliza swali kuhusiana na utoaji elimu kwa wananchi kuhusiana na masual;a ya kibiashara kati ya wafinland waliopo hapa nchini na Watanzania.
Mkurugenzi mkuu mtendaji wa kampuni ya 3disius International , Afrodisius Sabuni akichangia  maada katika kuhusiana na kinga ya mjasisliamali wa kitanzania kwenye kutoa taarifa za kibenki kwa wawekezaji wa kigeni iko na imara kwa kiasi gani na inaulinzi wa kutosha katika jamii, katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam  jana. 
Baadhi ya wadau wa biashara waliohudhuria katika mkutano unaoshirikisha wadau wa biashara wa hapa nchini na wafinland.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...