SIMUtv: Naibu waziri wa mambo ya ndani Mh.Silima akijibu swali juu ya hali ya ugaidi hapa nchini licha ya kifo cha kiongozi wa kundi la kigaidi Osama bin Ladden https://youtu.be/9bir_jqGd8Y
SIMUtv: Tamko la serikali juu ya wakulima waliotumia sera za kilimo nchini Mkatika kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mazao ya kilimo. http://youtu.be/CVv08Qx_0cQ
SIMUtv: Serikali imeombwa kuwashirikisha wadau mbalimbali toka sekta binafsi kuwekeza katika usafiri visiwani ili kurahisisha huduma za kijamii. https://youtu.be/170Gd80Uy68
SIMUtv: Serikali imeombwa kushirikiana na sekta binafsi ili kuwapa huduma muhimu watu wenye albinism katika mapambano dhidi ya ukatili. http://youtu.be/gf32gpKkfl8
SIMUtv: Beki wa argentina awataka wachezaji wenzake kuwa watulivu katika maandalizi ya mchezo wa fainali kuwania kombe la Kopa Amerika. http://youtu.be/3niVouCnCYE
SIMUtv: TFF imekingia kifua uamuzi wake wa kumrudisha Mguto kwenye uchaguzi wa Coastal union baada ya kutokuwa na Cheti cha kidato cha nne http://youtu.be/5mJiaZkSpyQ
SIMUtv: Uhalali wa muwekezaji katika shamba la mkonge la Kumburu lililopo Mkoani Tanga wazua tafran Bungeni. http://youtu.be/RsjGjwTrj5Q
SIMUtv: Mnyika azidi kuvuruga Bunge, amtaka Spika kusitisha shughuli za bunge ili kujadili maswala ya tume huru ya uchaguzi. https://youtu.be/KABWtwCBjbs
SIMUtv: Hivi ndiyo vioja vilivyotolewa ba wabunge leo bungeni vilivyosababisha Bunge kuhairishwa kwa mara nyingine tena. http://youtu.be/eepqgqu80mg
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...