SIMUtv: Naibu waziri wa mambo ya ndani Mh.Silima akijibu swali juu ya hali ya ugaidi hapa nchini licha ya kifo cha kiongozi wa kundi la kigaidi Osama bin Ladden    https://youtu.be/9bir_jqGd8Y
SIMUtv: Tamko la serikali juu ya wakulima waliotumia sera za kilimo nchini Mkatika kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mazao ya kilimo.   http://youtu.be/CVv08Qx_0cQ
SIMUtv: Serikali imeombwa kuwashirikisha wadau mbalimbali toka sekta binafsi kuwekeza katika usafiri visiwani ili kurahisisha huduma za kijamii.    https://youtu.be/170Gd80Uy68
SIMUtv: Serikali imeombwa kushirikiana na sekta binafsi ili kuwapa huduma muhimu watu wenye albinism katika mapambano dhidi ya ukatili. http://youtu.be/gf32gpKkfl8
SIMUtv: Beki wa argentina awataka wachezaji wenzake kuwa watulivu katika maandalizi ya mchezo wa fainali kuwania kombe la Kopa Amerika.     http://youtu.be/3niVouCnCYE
SIMUtv: TFF imekingia kifua uamuzi wake wa kumrudisha Mguto kwenye uchaguzi wa Coastal union baada ya kutokuwa na  Cheti cha kidato cha nne      http://youtu.be/5mJiaZkSpyQ
SIMUtv: Uhalali wa muwekezaji katika shamba la mkonge la Kumburu lililopo Mkoani Tanga wazua tafran Bungeni.   http://youtu.be/RsjGjwTrj5Q
SIMUtv: Mnyika azidi kuvuruga Bunge, amtaka Spika kusitisha shughuli za bunge ili kujadili maswala ya  tume huru ya uchaguzi.    https://youtu.be/KABWtwCBjbs
SIMUtv: Hivi ndiyo vioja vilivyotolewa ba wabunge leo bungeni vilivyosababisha Bunge kuhairishwa kwa mara nyingine tena.     http://youtu.be/eepqgqu80mg

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...