BOTI ya Kilimanjaro V ikishushwa katika Meli ya
Thorco Clairvaux ikitokea Nchini Australia , boti hiyo ilishushwa nje kidogo ya
Bandari ya Malindi Mjini Zanzibar na tayari imeshazinduliwa rasmi kuanza safari
zake.
Picha na Haroub Hussein.
BOTI ya Kilimanjaro V ikitua katika maji ya bahari ya Hindi leo
BOTI ya Kilimanjaro V ikielekea gatini Malindi, Zanzibar, tayari kwa uzinduzi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...