Naibu kamishna wa jeshi la polisi kikosi cha Usalama Barabarani SACP Johanes Kahatano(katikati)akiwafafanulia jambo Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia(kushoto) Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kamishna Msaidizi wa Polisi Mohamed Mpinga, Mkurugenzi wa Radio One Stereo, Deogratius Rweyunga kuhusiana na kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama“Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema” kupitia namba 0800757575.Kampeni hiyo inaendeshwa na jeshi la polisi  kikosi cha Usalama barabarani,Vodacom Tanzania na kwa vyombo vya habari vya kampuni ya IPP .
 Mkuu wa jeshi la polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kamanda Mohamed Mpinga (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (kushoto) kuhusiana na  kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama“Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema” kupitia namba 0800757575,Katikati ni Mkurugenzi wa Radio One Stereo, Deogratius Rweyunga.Kampeni hiyo inaendeshwa na jeshi la polisi  kikosi cha Usalama barabarani,Vodacom Tanzania  na Vyombo vya habari vinavyomilikiwa na kampuni ya IPP .
Mkurugenzi wa Radio One Stereo, Deogratius Rweyunga(katikati)akishuhudiwa na Mkuu wa jeshi la polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kamanda Mohamed Mpinga(kushoto) Rosalynn Mworia Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania akibandika stika yenye namba 0800757575 ambayo imetolewa mahususi kwa abiria wanaotumia vyombo vya moto kusafiria kutoa taarifa bure kupitia namba hizo wakati wa uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama “Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema” Kampeni hiyo inaendeshwa kwa usirikiano baina ya  Jeshi la Polisi  kikosi cha Usalama barabarani,Vodacom Tanzania na vyomo vya habari vinavyomilikwa na kampuni ya  IPP.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...