Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa akielezwa jambo na
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi katika
viwanja vya Bunge, mjini Dodoma jana.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akifurahia jambo
na Mbunge wa Viti Maalumu,Mh. Zainabu Vullu katika viwanja vya bunge
walipohudhuria kikao cha pili cha mkutano wa 18 wa Bunge mjini Dodoma jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...