Mataifa mbalimbali duniani ifikapo tarehe 28 ya kila mwezi wa kwanza wanaadhimisha siku ya kimataifa ya faragha ya taarifa ambapo kunakua na matukio mbali mbali ya kuhamasisha njia rafiki za kuweka salama taarifa za watu hasa wawapo mtandaoni. Taarifa zaidi za siku hii "BONYEZA HAPA"

Siku hii imekua ikitumika vizuri kwa ushirikiano mkubwa ma mashirika binafsi, serikali na vyombo vya habari kukumbusha watumiaji mitandao kuzingatia matumizi salama ya mitandao ili kubakisha taarifa za watumiaji mtandao salama.

Inafahamika, ukuaji wa wa kasi wa Teknolojia umeambatana matumizi yasiokusudiwa wa teknolojia ambapo umekua ukihatarisha sana ufaragha wa watumiaji wa teknolojia hizo. Kwa kuzingatia hili siku ya kimataifa ya faragha ya taarifa imekua ikihimizwa kutumika vizuri kukumbusha watumiaji mtandao yale yanayoweza kuhakikisha taarifa zao zinabaki salama watumiapo mitandao.

Kwa uchache mambo kadhaa ya kuzingatia ili kuweza kulinda faragha yako ya taarifa ikiwa ni ukumbusho ni kama yafuatayo:-

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...