Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa
habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza majina ya washiriki walioingia 5 bora katika
mashindano ya Airtel Trace Music Stars.Kulia ni Meneja Masoko wa Airtel,Anethy Muga.
Meneja Masoko wa Airtel Tanzania,Anethy Muga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza majina ya washiriki walioingia 5 bora katika mashindano
ya Airtel Trace Music Stars.Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando (kushoto) akiwa katika picha
ya pamoja na washiriki wanne waliongia hatua ya 5 bora katika mashindano ya kuvumbua
vipaji vya muziki ya Airtel Trace Music Strars . fainali za mashindano hayo
zinategemea kufanyika mwanzoni mwa mwezi wa pili.kulia ni Meneja Masoko wa
Airtel Tanzania,Anethy Muga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...