Wajumbe wakipata maelezo kutoka kwa uongozi wa Mkoa wa Pwani pamoja na Hospitali ya Tumbi kuhusu upanuzi wa hospitali hiyo.
Wajumbe wakikagua Jengo Jipya la Hospitali ya Tumbi linaloendelea kujengwa.
Wajumbe wa Kamati ya TAMISEMI wakitembelea Shule ya Sekondari Mihande iliyopo Mlandizi Mkoa wa Pwani kukagua Ujenzi unaondelea.
Wajumbe wa Kamati hiyo wakipata Maelezo kuhusu Ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari Mihande.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...