VIONGOZI wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mhe. Balozi Seif Ali Idd(hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na TPB, uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliyopo Kilimani mjini Zanzibar.
 WAFANYAKAZI wa Benki Posta Tanzania (TPB) wakiwa katika uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kupitia Benki hiyo uliozinduliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mhe. Balozi Seif Ali Idd katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani

 MENEJA Mahusiano wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Ndg. Noves Moses akiwatambulisha viongozi wa Benki hiyo waliohudhuria katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki hiyo. Uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliyopo Kilimani
 OFISA Uhusiano wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), Ndg. Khatib Idd akiutambulisha uongozi wa Mfuko huo uliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa ZSSF kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania.
 OFISA Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Ndg. Sabasaba Moshingi akitoa maelezo ya benki hiyo wakati wa uzinduzi wa Mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki hiyo uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View
 OFISA Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Ndg. Sabasaba Moshingi akitoa maelezo ya benki hiyo wakati wa uzinduzi wa Mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki hiyo uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View
 BAADHI ya Wastaafu wa mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) wakiwa katika uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa mfuko huo kwa mashirikiano na Benki ya Posta Tanzania (TPB) uliozinduliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Mjini Zanzibar.(


 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akiwa  Meza kuu  na WAZIRI wa Fedha Zanzibar, Mhe. Omar Yussuf Mzee (kulia)  OFISA Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Ndg. Sabasaba Moshingi (kushoto)
 WAZIRI wa Fedha Zanzibar, Mhe. Omar Yussuf Mzee akizungumza katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanizbar (ZSSF) uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar

 WAZIRI wa Fedha Zanzibar, Mhe. Omar Yussuf Mzee akizungumza katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanizbar (ZSSF) uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar
 WAALIKWA mbali mbali wakiwa katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB), uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akizindua mfuko wa Mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB) uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar
 WAALIKWA mbali mbali wakiwa katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB), uzinduzi huo
 
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akizindua mfuko wa Mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB) uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar
 MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharib , Mhe. Abdalla Mwinyi Khamis akitoa shukrani katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa mashirikiano na Benki ya Posta Tanzania (TPB) uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar
MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharib , Mhe. Abdalla Mwinyi Khamis akitoa shukrani katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa mashirikiano na Benki ya Posta Tanzania (TPB) uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar. Picha zote na Haroub Hussein

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2014

    HONGERENI BENKI YA POSTA TANZANIA KWA KUWA KUMBUKA WASTAAFU, WAZEE WALIOITUMIKIA NCHI YETU KWA NGUVU ZAO ZOTE ENZI ZA UTUMISHI WAO ULIOTUKUKA.

    WASTAAFU-ITUMIENI FURSA HII VIZURI.

    MUNGU AWABARIKI WASTAAFU, MUNGU IBARIKI BENKI YA POSTA TANZANIA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...