VIONGOZI wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mhe. Balozi Seif Ali Idd(hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na TPB, uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliyopo Kilimani mjini Zanzibar.
WAFANYAKAZI
wa Benki Posta Tanzania (TPB) wakiwa katika uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu wa
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kupitia Benki hiyo uliozinduliwa na
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mhe. Balozi Seif Ali Idd katika Hoteli ya
Zanzibar Ocean View Kilimani
MENEJA
Mahusiano wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Ndg. Noves Moses akiwatambulisha
viongozi wa Benki hiyo waliohudhuria katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki hiyo. Uliofanyika
katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliyopo Kilimani
OFISA
Uhusiano wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), Ndg. Khatib Idd
akiutambulisha uongozi wa Mfuko huo uliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Mikopo
kwa Wastaafu wa ZSSF kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania.
OFISA
Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Ndg. Sabasaba Moshingi akitoa
maelezo ya benki hiyo wakati wa uzinduzi wa Mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa
Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki hiyo uliofanyika
katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View
OFISA
Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Ndg. Sabasaba Moshingi akitoa
maelezo ya benki hiyo wakati wa uzinduzi wa Mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa
Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki hiyo uliofanyika
katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View
BAADHI
ya Wastaafu wa mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) wakiwa katika uzinduzi
wa Mikopo ya Wastaafu wa mfuko huo kwa mashirikiano na Benki ya Posta Tanzania
(TPB) uliozinduliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali
Idd katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Mjini Zanzibar.(
Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akiwa Meza kuu na WAZIRI wa Fedha Zanzibar, Mhe. Omar Yussuf Mzee (kulia) OFISA Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Ndg. Sabasaba Moshingi (kushoto)
WAZIRI
wa Fedha Zanzibar, Mhe. Omar Yussuf Mzee akizungumza katika uzinduzi wa Mikopo
kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanizbar (ZSSF) uliofanyika katika
Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar
WAZIRI
wa Fedha Zanzibar, Mhe. Omar Yussuf Mzee akizungumza katika uzinduzi wa Mikopo
kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanizbar (ZSSF) uliofanyika katika
Hoteli ya Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar
WAALIKWA
mbali mbali wakiwa katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi
ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB),
uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani
MAKAMU
wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akizindua mfuko wa Mikopo
kwa wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na
Benki ya Posta Tanzania (TPB) uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View
iliopo Kilimani mjini Zanzibar
WAALIKWA
mbali mbali wakiwa katika uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi
ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB),
uzinduzi huo
MAKAMU
wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akizindua mfuko wa Mikopo
kwa wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kwa kushirikiana na
Benki ya Posta Tanzania (TPB) uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View
iliopo Kilimani mjini Zanzibar
MKUU
wa Mkoa wa Mjini Magharib , Mhe. Abdalla Mwinyi Khamis akitoa shukrani katika
uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF)
kwa mashirikiano na Benki ya Posta Tanzania (TPB) uliofanyika katika Hoteli ya
Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar
MKUU
wa Mkoa wa Mjini Magharib , Mhe. Abdalla Mwinyi Khamis akitoa shukrani katika
uzinduzi wa Mikopo kwa Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF)
kwa mashirikiano na Benki ya Posta Tanzania (TPB) uliofanyika katika Hoteli ya
Zanzibar Ocean View iliopo Kilimani mjini Zanzibar. Picha zote na Haroub Hussein
HONGERENI BENKI YA POSTA TANZANIA KWA KUWA KUMBUKA WASTAAFU, WAZEE WALIOITUMIKIA NCHI YETU KWA NGUVU ZAO ZOTE ENZI ZA UTUMISHI WAO ULIOTUKUKA.
ReplyDeleteWASTAAFU-ITUMIENI FURSA HII VIZURI.
MUNGU AWABARIKI WASTAAFU, MUNGU IBARIKI BENKI YA POSTA TANZANIA.