Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 29, 2014

    Uchunguzi ufanywe haraka kwa hao 200 ili watakaokutwa hawakupendelewa waweze kuanza kazi haraka iwezekanavyo.

    ReplyDelete
  2. Ajira zetu za siku hizi ni mashaka matupu, kujuwana kwa kwenda mbele. Si aghlab ukichunguza utakuta ni hao kwa hao au wenyewe kwa wenyewe tu, baba ataleta mwana, Babu ataleta mjukuu, Mume ataleta mke, mke ataleta jirani n.k. Almuradi hakuna uhalali wowote, only depends on WHOM you know and not HOW capable you are, period!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 30, 2014

    Naishukuru na kuipongeza serikali kwa kuubaini udhaifu huu. Hata hivyo nina maoni tofauti kidogo. Kwa kuwa waliochaguliwa wana sifa, ni watanzania wenzetu na wanatafuta ajira, ingefaa waachwe tu waendelee na kazi. Isipokuwa mambo yafuatayo yafanyike: 1. Serikali iwawajibishe kwa kuwashusha vyeo waliohusika na interview hiyo; 2. Waliowajibishwa na waliopata post hizo kiundugu wakatwe kwenye mishara yao ili wale woooote waliohudhuria interview walipwe gharama zao na kifuta jasho kidogo kwa kufanyishwa interview ya uongo; 3. Serikali itoe onyo kwa mtu yeyote ama taasisi yoyote itakayorudia kosa kama hilo. Sheria zitungwe (kama hazipo)na kama zipo zichukuliwe kwa mtu/taasis yoyote itakayorudia kitendo kama hicho.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...