Hapa ni njia panda ya Kawe na Bagamoyo Road jijini Dar es salaam. 
Foleni kwishnei

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2014

    Tunajitahidi lkn inabidi hii miradi ya miundo mbinu iwe ina project feture demand.Hizi barabara za two way one way haziwezi kuondoa tatizo la trafic kwa wakati huu vipi miaka 5 ijayo? au ndio itabidi kuwabomolea Wananchi vianda vyao ili kuongeza idadi ya lane.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 30, 2014

    Uncle utashikwa sikio, usimtukane mamba kabla hujavuka mto!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 30, 2014

    Kwa kweli hii barabara inatia moyo, kwamba maendeleo yapo,

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 30, 2014

    Mdau wa kwanza hapo, hivi hawa mainjinia wote wanaomaliza vyuo vikuu hawawezi kutengeneza treni za chini kwa chini kama nchi zilizoendelea, au train na tram za juu badala ya kufikiria barabara kupanuliwa halafu kuvuka inakuwa shida. Hivi kuna Chuo Kikuu chochote hapa nchini kimeshachora michoro ya vitu kama hivi kwa ajili ya sulluhisho la misongamano la jiji letu??

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 30, 2014

    Barabara ni nzuri sana. Kasoro tuu umaridadi wa mazingira ndio unatia aibu...
    Barabara pia haina taa... ukipita usiku huwezi ona mandari nzuri. jiji (wazee wa jiji meya wa manispaa ya kinondoni) kwa hili unastahili yellow card

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 30, 2014

    Jamani tusijipe moyo kwa barabara zilizotakiwa kujengwa miaka 20 iliyopita.
    Hii barabara ni ndogo kuliko Morogoro road pale jangwani iliyojengwa tukiwa na gari za kuhesabu.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 30, 2014

    ha ha ha michuzi subiri siku ya kazi utuletee picha nyingine hasa asubuhi na jioni

    hongera sana kwa barabaraba nzuri, any step towards positive direction ni hatua nzuri

    kuna mdau hapo juu kaulizia kuhusu plans za wahitimu wa chuo kikuu ... kwa taarifa yako Tanzania mipango ipo mingi sana shida huwa ni utekelezaji ambao huchangiwa sana na nia ya dhati pamoja na gharama zinazohitajika

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 31, 2014

    Hongera sana kaka kwa kutuletea picha hii, pia nakubaliana na wachangiaji wote hapo juu kwamba viongozi wetu waliopo madarakani wanakitu cha kufanya. Mfano ya barabara hii ya Bagamoyo Rd, naomba TANROADS waingalie upya hasa kwenye madaraja; hilo la hapo Kawe na lile la Tegeta, mbona kama yametokeza KIDOGO barabarani!!! Mimi ni muendeshaji mzuri sana wa barabara nyingi tu na ninawapa CREDIT wajapani waliotujengea lakini kwenye huu upande madaraja nina wasiwasi na kutokeza kwake halafu hakuna REFLECTORS!!! TANROARDS shughulikieni haraka maana hayo ni mabomu yatakayokuja kulipuka!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...