Baadhi ya wanachama wa THE KOP IN TZ wakisherehekea ushindi dhidi ya Norwich leo. Mwenyekiti wa umoja huo, Musleh (mwenye kapelo), kwa niaba ya THE KOP wote nchini anatoa pia salamu za PASAKA na kuwatakia wanachama wote sikukuu njema ya furaha kwa zawadi hii ya YNWA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...