mpiga bezi wa twanga pepeta jojo jumanne hana hamu baada ya binti wa mbaraka mwinshehe mwaruka, Muhtaji, kuvamia jukwaa la twanga pepeta usiku huu ukumbi wa mango garden jijini dar na kumpokea gitaa na kuliungurumisha vilivyo kuonesha jinsi alivyo mahiri wa kazi hiyo
muhtaji mbaraka mwinshehe akienda sambamba na midundo ya twanga pepeta bila wasiwasi wala mikwaruzo. umati ulilipuka kwa umahiri wake wa kupiga gitaa la bezi
muhtaji mbaraka mwinshehe akienda sambamba na midundo ya twanga pepeta bila wasiwasi wala mikwaruzo. umati ulilipuka kwa umahiri wake wa kupiga gitaa la bezi
Si mtoto wa nyoka, naye atakuwa nyoka. Mifano mingi, ni kijana wa mchezaji soka gwiji wa Ghana, Abeid Pele. Anakijana wake mahili sana na anakipiga pale pale Marseille alipokuwa baba. Wapo wengi, tu wa kutolea mifano. Natamani ingekuwa video ningesikia midundo hiyo!!
ReplyDeleteAnkol, tafadhali kama kuna uwezekano wa kupata video za huyo dada tunaomba tuipate nasi tuburuduke. Big-up sana!
mtoto wa simba ni simba tu,tena akitoa meno usifikiri heti anakuchekea...ukimsogerea atakutafuna
ReplyDeleteukipanda matembele utavuna matembele............anateleza...
ReplyDelete